Deuteronomy 29:12-14

12Mnasimama hapa ili kufanya Agano na Bwana Mwenyezi Mungu wenu, Agano ambalo Mungu analifanya nanyi siku hii ya leo na kulitia muhuri kwa kiapo, 13 akuwathibitisha ninyi siku hii ya leo kama taifa lake, ili aweze kuwa Mungu wenu kama alivyowaahidi na kama alivyowaapia baba zenu Ibrahimu, Isaka na Yakobo. 14 bNinafanya Agano hili pamoja na kiapo chake, sio na ninyi tu
Copyright information for SwhKC